Sawa, sasa hapo cha kufanya ni kwenda serikali ya Kijiji, chukua Fomu na ukishajaza na kuwekewa mihuri husika, peleka ofisi za NIDA wilayani, ambatanisha vielelezo kama vile, cheti cha kuzaliwa, Cheti cha Darasa la 7, Kadi ya Ubatizo, kadi ya mpiga kura nk, vyenye majina yako kwa mpangilio...