Uni Jamii

Habari Ndugu, Ili Kuendelea kufaidika na Taarifa zeru Muhimu , karibu ujisajili!

ibenge

  1. UJ Expert

    Florent Ibenge alivyomrejesha Aishi Manula katika klabu ya Azam Fc

    Azam FC imerudisha kipa Aishi Manula katika kikosi chake, akitoka Simba SC, akisaini mkataba wa miaka mitatu utakaomshikilia klabuni hadi 2028. Ujumbe rasmi wa usajili huo ulitangazwa jana, ingawa habari za kuhamia kwake zilianze kuorodheshwa tangu Juni 11, 2025. Kipa huyo aliwasili Chamazi...
Back
Top