Uni Jamii

Habari Ndugu, Ili Kuendelea kufaidika na Taarifa zeru Muhimu , karibu ujisajili!

Aishi Manula arejea Azam FC

Golikipa wa timu ya taifa ya Tanzania taifa stars zamani Simba Sc Amejiunga na timu yake ya Zamani Azam FC Kwa mkataba wa miaka 3, Aisha anaondoka Simba baada ya kukosa namba mbele ya Spider man Mousa Pinpin Camara.

Je? Manula anaweza kurejea kwenye ubora wake.

1615586285.jpg1000192637.webp
 
Back
Top